Song of Solomon 5:1

1 aNimekuja kwenye bustani yangu, dada yangu,
bibi arusi wangu;
nimekusanya manemane yangu pamoja
na kikolezo changu.
Nimekula sega langu la asali na asali yangu;
nimekunywa divai yangu na maziwa yangu.

Marafiki

Kuleni, enyi marafiki, mnywe;
kunyweni ya kutosha, ee wapenzi.

Shairi La Nne

Mpendwa

Copyright information for SwhKC