Song of Solomon 5:1
1 aNimekuja kwenye bustani yangu, dada yangu,bibi arusi wangu;
nimekusanya manemane yangu pamoja
na kikolezo changu.
Nimekula sega langu la asali na asali yangu;
nimekunywa divai yangu na maziwa yangu.
Marafiki
Kuleni, enyi marafiki, mnywe;kunyweni ya kutosha, ee wapenzi.
Shairi La Nne
Mpendwa
Copyright information for
SwhKC